Waamuzi 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sauti za wenye kugawa maji katika mahali pa kuteka maji,+Hapo walianza kusimulia matendo ya uadilifu ya Yehova,+Matendo ya uadilifu ya wakaaji wake katika nchi iliyo wazi katika Israeli.Ndipo watu wa Yehova walipoondoka na kwenda mpaka malangoni. Zaburi 71:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kinywa changu mwenyewe kitasimulia uadilifu wako,+Wokovu wako mchana kutwa,+Kwa maana sijapata kujua hesabu yake.+ Waroma 3:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mungu alimweka kuwa toleo la kupatanisha+ kupitia imani katika damu+ yake. Ilikuwa hivyo ili kuonyesha wazi uadilifu wake mwenyewe, kwa sababu alikuwa akizisamehe dhambi+ zilizotokea wakati uliopita wakati Mungu alipokuwa akivumilia kwa subira;+
11 Sauti za wenye kugawa maji katika mahali pa kuteka maji,+Hapo walianza kusimulia matendo ya uadilifu ya Yehova,+Matendo ya uadilifu ya wakaaji wake katika nchi iliyo wazi katika Israeli.Ndipo watu wa Yehova walipoondoka na kwenda mpaka malangoni.
15 Kinywa changu mwenyewe kitasimulia uadilifu wako,+Wokovu wako mchana kutwa,+Kwa maana sijapata kujua hesabu yake.+
25 Mungu alimweka kuwa toleo la kupatanisha+ kupitia imani katika damu+ yake. Ilikuwa hivyo ili kuonyesha wazi uadilifu wake mwenyewe, kwa sababu alikuwa akizisamehe dhambi+ zilizotokea wakati uliopita wakati Mungu alipokuwa akivumilia kwa subira;+