Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+

      Kwa maana njia zake zote ni haki.+

      Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+

      Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+

  • 1 Samweli 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi sasa simameni, nami nitawahukumu ninyi mbele za Yehova na kuwasimulia matendo yote ya uadilifu+ ya Yehova ambayo amewafanyia ninyi na mababu zenu.

  • Zaburi 145:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Watabubujikwa na maneno wakitaja wingi wa wema wako,+

      Na kwa sababu ya uadilifu wako watapiga vigelegele vya shangwe.+

  • Mika 6:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Tafadhali, enyi watu wangu, kumbukeni+ lile ambalo Balaki mfalme wa Moabu alishauri,+ na lile ambalo Balaamu mwana wa Beori alimjibu.+ Ilikuwa kutoka Shitimu+ mpaka Gilgali,+ kusudi matendo ya uadilifu ya Yehova yajulikane.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki