7 Basi sasa simameni, nami nitawahukumu ninyi mbele za Yehova na kuwasimulia matendo yote ya uadilifu+ ya Yehova ambayo amewafanyia ninyi na mababu zenu.
5 Tafadhali, enyi watu wangu, kumbukeni+ lile ambalo Balaki mfalme wa Moabu alishauri,+ na lile ambalo Balaamu mwana wa Beori alimjibu.+ Ilikuwa kutoka Shitimu+ mpaka Gilgali,+ kusudi matendo ya uadilifu ya Yehova yajulikane.”+