Zaburi 51:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Unikomboe kutokana na hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+Ili ulimi wangu upate kutangaza uadilifu wako kwa shangwe.+ Isaya 45:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 ukisema, ‘Hakika kuna uadilifu kamili na nguvu katika Yehova.+ Wale wote wanaomwakia hasira watakuja kwake moja kwa moja na kuona aibu.+ Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
14 Unikomboe kutokana na hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+Ili ulimi wangu upate kutangaza uadilifu wako kwa shangwe.+
24 ukisema, ‘Hakika kuna uadilifu kamili na nguvu katika Yehova.+ Wale wote wanaomwakia hasira watakuja kwake moja kwa moja na kuona aibu.+
3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+