Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 9:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nawe ni mwadilifu+ kuhusu mambo yote ambayo yametupata, kwa maana umetenda kwa uaminifu,+ lakini sisi ndio tumetenda kwa uovu.+

  • Zaburi 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Tutapiga vigelegele kwa shangwe kwa sababu ya wokovu wako,+

      Nasi tutainua bendera zetu katika jina la Mungu wetu.+

      Yehova na atimize maombi yako yote.+

  • Zaburi 35:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nao ulimi wangu mwenyewe na utamke uadilifu wako kwa sauti ya chini,+

      Sifa yako mchana kutwa.+

  • Zaburi 59:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini mimi, nitaimba juu ya nguvu zako,+

      Na asubuhi nitatangaza fadhili zako zenye upendo kwa shangwe.+

      Kwa maana umekuwa kilele changu salama.+

      Na mahali pa kukimbilia siku ya taabu yangu.+

  • Danieli 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwako wewe, Ee Yehova, kuna uadilifu, lakini kwetu sisi kuna aibu ya uso kama ilivyo leo hii,+ kwa watu wa Yuda na kwa wakaaji wa Yerusalemu na kwa watu wote wa Israeli, wale walio karibu na wale walio mbali katika nchi zote ambako uliwatawanya kwa sababu ya ukosefu wao wa uaminifu waliokutendea.+

  • Waroma 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 kwa maana, kwa sababu ya kukosa kujua uadilifu wa Mungu+ bali wakitafuta kujiwekea uadilifu wao wenyewe,+ hawakujitiisha kwa uadilifu wa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki