Zaburi 44:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Fedheha yangu iko mbele yangu mchana kutwa,Nayo aibu ya uso wangu mwenyewe imenifunika,+ Yeremia 2:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Watu wa nyumba ya Israeli wameona aibu kama ile ya mwizi ambaye amekamatwa,+ wao, wafalme wao, wakuu wao na makuhani wao na manabii wao.+ Yeremia 3:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Tunalala katika aibu+ yetu, na fedheha yetu inaendelea kutufunika;+ kwa maana tumemtendea dhambi+ Yehova Mungu wetu, sisi na baba zetu tangu ujana wetu na kuendelea mpaka leo hii,+ nasi hatukuitii sauti ya Yehova Mungu wetu.”+
26 “Watu wa nyumba ya Israeli wameona aibu kama ile ya mwizi ambaye amekamatwa,+ wao, wafalme wao, wakuu wao na makuhani wao na manabii wao.+
25 Tunalala katika aibu+ yetu, na fedheha yetu inaendelea kutufunika;+ kwa maana tumemtendea dhambi+ Yehova Mungu wetu, sisi na baba zetu tangu ujana wetu na kuendelea mpaka leo hii,+ nasi hatukuitii sauti ya Yehova Mungu wetu.”+