Yeremia 2:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kama aibu ya mwizi anapokamatwa,Ndivyo watu wa nyumba ya Israeli walivyoaibishwa,Wao, wafalme wao na wakuu wao,Makuhani wao na manabii wao.+
26 Kama aibu ya mwizi anapokamatwa,Ndivyo watu wa nyumba ya Israeli walivyoaibishwa,Wao, wafalme wao na wakuu wao,Makuhani wao na manabii wao.+