Kutoka 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wakati huo Musa na wana wa Israeli wakaanza kumwimbia Yehova wimbo huu na kusema yafuatayo:+“Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana ametukuzwa sana.+Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.+ Kumbukumbu la Torati 31:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Naye Musa akasema masikioni mwa kutaniko lote la Israeli maneno ya wimbo huu mpaka yakaisha:+ Waebrania 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na Musa akiwa mtumishi+ alikuwa mwaminifu katika nyumba yote yake Huyo kama ushuhuda wa mambo ambayo yangesemwa baadaye,+
15 Wakati huo Musa na wana wa Israeli wakaanza kumwimbia Yehova wimbo huu na kusema yafuatayo:+“Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana ametukuzwa sana.+Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.+
5 Na Musa akiwa mtumishi+ alikuwa mwaminifu katika nyumba yote yake Huyo kama ushuhuda wa mambo ambayo yangesemwa baadaye,+