34 Na, kwa upande mwingine, kama anavyoishi Yehova Mungu wa Israeli, ambaye amenizuia nisikudhuru wewe,+ kama hungelifanya haraka ili uje kunipokea,+ kufikia wakati wa nuru ya asubuhi hangelibaki kwa Nabali mtu yeyote anayekojoa ukutani.”+
8 Mimi ninapomwambia mtu mwovu, ‘Wewe mwovu, hakika utakufa!’+ lakini kwa kweli wewe usiseme ili kumwonya mwovu aiache njia yake,+ yeye mwenyewe kwa kuwa ni mwovu atakufa katika kosa lake,+ lakini damu yake nitaidai katika mkono wako.
6 Lakini walipoendelea kupinga na kutukana,+ akayakung’uta mavazi+ yake na kuwaambia: “Damu+ yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe. Mimi ni safi.+ Tangu sasa na kuendelea nitaenda kwa watu wa mataifa.”+