Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu.

  • 1 Samweli 25:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na, kwa upande mwingine, kama anavyoishi Yehova Mungu wa Israeli, ambaye amenizuia nisikudhuru wewe,+ kama hungelifanya haraka ili uje kunipokea,+ kufikia wakati wa nuru ya asubuhi hangelibaki kwa Nabali mtu yeyote anayekojoa ukutani.”+

  • Zaburi 26:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda-dhambi,+

      Wala uhai wangu pamoja na watu wenye hatia ya damu,+

  • Ezekieli 33:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mimi ninapomwambia mtu mwovu, ‘Wewe mwovu, hakika utakufa!’+ lakini kwa kweli wewe usiseme ili kumwonya mwovu aiache njia yake,+ yeye mwenyewe kwa kuwa ni mwovu atakufa katika kosa lake,+ lakini damu yake nitaidai katika mkono wako.

  • Matendo 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini walipoendelea kupinga na kutukana,+ akayakung’uta mavazi+ yake na kuwaambia: “Damu+ yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe. Mimi ni safi.+ Tangu sasa na kuendelea nitaenda kwa watu wa mataifa.”+

  • Matendo 20:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa sababu hiyo ninawaita ninyi kuona ushahidi leo hii kwamba mimi ni safi kutokana na damu+ ya watu wote,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki