Ezekieli 33:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ninapomwambia mtu mwovu, ‘Wewe mwovu, hakika utakufa!’+ lakini wewe humwonyi waziwazi mtu huyo mwovu ili abadili njia yake, yeye kwa kuwa ni mwovu atakufa kwa sababu ya kosa lake mwenyewe,+ lakini damu yake nitaidai kutoka kwako. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 33:8 Ibada Safi, uku. 122
8 Ninapomwambia mtu mwovu, ‘Wewe mwovu, hakika utakufa!’+ lakini wewe humwonyi waziwazi mtu huyo mwovu ili abadili njia yake, yeye kwa kuwa ni mwovu atakufa kwa sababu ya kosa lake mwenyewe,+ lakini damu yake nitaidai kutoka kwako.