- 
	                        
            
            Ezekieli 16:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        8 “ ‘Nami nikaja nikipita kando yako nikakuona, na, tazama! wakati wako ulikuwa wakati wa maonyesho ya upendo.+ Kwa hiyo nikatandaza upindo wa nguo yangu juu yako+ na kuufunika utupu wako na kukutolea ahadi yenye kiapo na kuingia katika agano pamoja nawe,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘na kwa hiyo ukawa wangu.+ 
 
-