Kutoka 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na ninyi wenyewe mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’+ Hayo ndiyo maneno utakayowaambia wana wa Israeli.” Zaburi 50:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Wakusanye kwangu washikamanifu wangu,+Wale wanaofanya agano langu juu ya dhabihu.”+
6 Na ninyi wenyewe mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’+ Hayo ndiyo maneno utakayowaambia wana wa Israeli.”