Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini ilikuwa kwa sababu Yehova aliwapenda ninyi,+ na kwa sababu ya kushika ile ahadi yenye kiapo aliyowaapia mababu zenu,+ ndiyo sababu Yehova aliwatoa nje kwa mkono wenye nguvu,+ apate kuwakomboa ninyi kutoka katika nyumba ya watumwa,+ kutoka katika mkono wa Farao mfalme wa Misri.

  • Kumbukumbu la Torati 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Yehova Mungu wako hakutaka kumsikiliza Balaamu;+ lakini Yehova Mungu wako kwa ajili yako aligeuza ile laana ikawa baraka,+ kwa sababu Yehova Mungu wako alikupenda.+

  • Zaburi 47:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Atatuchagulia urithi wetu,+

      Fahari ya Yakobo, ambaye amempenda.+ Sela.

  • Hosea 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Israeli alipokuwa mvulana, ndipo nikampenda,+ na kutoka Misri nilimwita mwanangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki