Kutoka 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nawe utamwambia Farao, ‘Hivi ndivyo Yehova amesema: “Israeli ni mwanangu, mzaliwa wangu wa kwanza.+ Mathayo 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 naye akakaa huko mpaka kufa kwa Herode, ili litimizwe+ lile lililosemwa na Yehova kupitia nabii wake, akisema: “Kutoka Misri+ nilimwita mwanangu.”
22 Nawe utamwambia Farao, ‘Hivi ndivyo Yehova amesema: “Israeli ni mwanangu, mzaliwa wangu wa kwanza.+
15 naye akakaa huko mpaka kufa kwa Herode, ili litimizwe+ lile lililosemwa na Yehova kupitia nabii wake, akisema: “Kutoka Misri+ nilimwita mwanangu.”