9 Watakuja wakilia,+ nami nitawaleta wakiwa na maombi yao ya kusihi wakitaka kibali. Nitawatembeza kwenye mabonde ya mito ya maji,+ katika njia iliyo sawa ambayo ndani yake hawatakwazwa. Kwa maana mimi nimekuwa Baba kwa Israeli;+ naye Efraimu, yeye ni mzaliwa wangu wa kwanza.”+