Matendo 26:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 lakini makabila yetu kumi na mawili yanatumaini kufikia utimizo wa ahadi hii kwa kumtolea utumishi mtakatifu kwa juhudi nyingi usiku na mchana.+ Kuhusu tumaini hili ninashtakiwa+ na Wayahudi, Ewe mfalme. Waebrania 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi, kwa upande wake, lile agano la zamani lilikuwa na maagizo ya utumishi mtakatifu+ na mahali pake patakatifu pa kidunia.+
7 lakini makabila yetu kumi na mawili yanatumaini kufikia utimizo wa ahadi hii kwa kumtolea utumishi mtakatifu kwa juhudi nyingi usiku na mchana.+ Kuhusu tumaini hili ninashtakiwa+ na Wayahudi, Ewe mfalme.
9 Basi, kwa upande wake, lile agano la zamani lilikuwa na maagizo ya utumishi mtakatifu+ na mahali pake patakatifu pa kidunia.+