6 naye kuhani atachovya kidole+ chake ndani ya damu hiyo na kutapanya sehemu ya damu hiyo mara saba+ mbele za Yehova mbele ya pazia la mahali patakatifu.
9 Hema hili ni mfano+ kwa ajili ya wakati uliowekwa ambao upo sasa,+ na kwa kupatana nalo zawadi na dhabihu pia zinatolewa.+ Hata hivyo, hizo haziwezi kumfanya mtu anayetoa utumishi mtakatifu awe mkamilifu+ kuhusiana na dhamiri+ yake,