37 naye sasa alikuwa mjane+ mwenye umri wa miaka 84), ambaye alikuwa hakosi kamwe kuwa katika hekalu, akitoa utumishi mtakatifu usiku na mchana+ kwa kufunga na dua.
7 Tuseme nini, basi? Jambo lilelile ambalo Israeli anatafuta kwa bidii yeye hakulipata,+ lakini wale waliochaguliwa+ walilipata. Wale wengine hisia zao zilifanywa kuwa nzito;+