Yohana 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Alikuja nyumbani kwake mwenyewe, lakini watu wake mwenyewe hawakumkaribisha.+ Waroma 9:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 lakini Israeli, ijapokuwa alikuwa akiifuatilia sheria ya uadilifu, hakuifikia sheria.+