Matendo 13:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Na kwa hiyo sisi tunawatangazia ninyi habari njema juu ya ahadi iliyotolewa kwa mababu,+ Waroma 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana ahadi+ ile kwamba awe mrithi wa ulimwengu hakuipata Abrahamu au uzao wake kupitia sheria, bali ilikuwa kupitia uadilifu kwa njia ya imani.+
13 Kwa maana ahadi+ ile kwamba awe mrithi wa ulimwengu hakuipata Abrahamu au uzao wake kupitia sheria, bali ilikuwa kupitia uadilifu kwa njia ya imani.+