Mwanzo 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+ Matendo 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kutoka katika uzao+ wa mwanamume huyu kulingana na ahadi yake Mungu ameletea Israeli mwokozi,+ Yesu, Waroma 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana ahadi+ ile kwamba awe mrithi wa ulimwengu hakuipata Abrahamu au uzao wake kupitia sheria, bali ilikuwa kupitia uadilifu kwa njia ya imani.+
3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+
23 Kutoka katika uzao+ wa mwanamume huyu kulingana na ahadi yake Mungu ameletea Israeli mwokozi,+ Yesu,
13 Kwa maana ahadi+ ile kwamba awe mrithi wa ulimwengu hakuipata Abrahamu au uzao wake kupitia sheria, bali ilikuwa kupitia uadilifu kwa njia ya imani.+