Mwanzo 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+ Mwanzo 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nitakufanya uwe mwenye kuzaa sana sana na kukufanya uwe mataifa, na wafalme watatoka ndani yako.+ Mwanzo 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tazama, kwa hakika Abrahamu atakuwa taifa kubwa na lenye nguvu, na mataifa yote ya dunia yatajibariki kupitia kwake.+ Mwanzo 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 hakika nitakubariki nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga zilizo kando ya bahari;+ na uzao wako utamiliki lango la adui zake.+
3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+
6 Nami nitakufanya uwe mwenye kuzaa sana sana na kukufanya uwe mataifa, na wafalme watatoka ndani yako.+
18 Tazama, kwa hakika Abrahamu atakuwa taifa kubwa na lenye nguvu, na mataifa yote ya dunia yatajibariki kupitia kwake.+
17 hakika nitakubariki nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga zilizo kando ya bahari;+ na uzao wako utamiliki lango la adui zake.+