14 Lakini, Israeli akaunyoosha mkono wake wa kuume na kuuweka juu ya kichwa cha Efraimu,+ ingawa ndiye aliyekuwa mdogo,+ nao mkono wake wa kushoto juu ya kichwa cha Manase.+ Aliiweka mikono yake hivyo kwa makusudi, kwa kuwa Manase ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza.+