Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana Yehova Mungu wako ni Mungu mwenye rehema.+ Hatakutupa wala kukuharibu wala kulisahau agano+ la mababu zako ambalo aliwaapia.

  • Yeremia 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Nenda, ukaite masikioni mwa Yerusalemu, ukisema, ‘Yehova amesema hivi:+ “Ninakumbuka vema fadhili zako zenye upendo wakati wa ujana wako,+ upendo wako wakati ulipochumbiwa ili kuolewa,+ ulivyotembea kunifuata nyikani, katika nchi ambayo haipandwi mbegu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki