2 “Nenda, ukaite masikioni mwa Yerusalemu, ukisema, ‘Yehova amesema hivi:+ “Ninakumbuka vema fadhili zako zenye upendo wakati wa ujana wako,+ upendo wako wakati ulipochumbiwa ili kuolewa,+ ulivyotembea kunifuata nyikani, katika nchi ambayo haipandwi mbegu.+