29 kama vile wana wa Esau wanaokaa Seiri+ na Wamoabu+ wanaokaa Ari walivyonifanyia, mpaka nitakapokuwa nimevuka Yordani na kuingia nchi ambayo Yehova Mungu wetu anatupa sisi.’+
18 Walipotembea kupitia nyika, waliizunguka nchi ya Edomu+ na nchi ya Moabu, nao wakaenda upande wa mashariki wa nchi ya Moabu,+ wakakaa katika eneo la Arnoni; nao hawakuja katika mpaka wa Moabu,+ kwa sababu Arnoni ulikuwa ni mpaka wa Moabu.+