1 Samweli 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Nahashi Mwamoni akawaambia: “Nitafanya agano pamoja nanyi kwa sharti hili, kwa sharti la kung’oa+ kila jicho lenu la kuume, nami ni lazima niweke jambo hilo kuwa shutuma juu ya Israeli wote.”+ 2 Wafalme 25:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nao wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba,+ akampeleka Babiloni.+
2 Ndipo Nahashi Mwamoni akawaambia: “Nitafanya agano pamoja nanyi kwa sharti hili, kwa sharti la kung’oa+ kila jicho lenu la kuume, nami ni lazima niweke jambo hilo kuwa shutuma juu ya Israeli wote.”+
7 Nao wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba,+ akampeleka Babiloni.+