Waamuzi 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha Adoni-bezeki akasema, “Kuna wafalme 70 waliokatwa vidole gumba vya mikono na vya miguu wanaookota chakula chini ya meza yangu. Mungu amenilipa kulingana na matendo yangu.” Baadaye wakampeleka Yerusalemu,+ akafia huko.
7 Kisha Adoni-bezeki akasema, “Kuna wafalme 70 waliokatwa vidole gumba vya mikono na vya miguu wanaookota chakula chini ya meza yangu. Mungu amenilipa kulingana na matendo yangu.” Baadaye wakampeleka Yerusalemu,+ akafia huko.