Kutoka 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini kifo kikitokea, basi utatoa nafsi kwa nafsi,+ Mambo ya Walawi 24:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na ikiwa mtu atamtia mwenzake kasoro, basi kama vile tu ambavyo yeye amefanya, ndivyo atakavyofanywa.+ Kumbukumbu la Torati 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na jicho lako lisisikitike:+ nafsi itakuwa kwa nafsi, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.+ 1 Samweli 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hata hivyo, Samweli akasema: “Kama vile upanga wako+ ulivyofanya wanawake kufiwa na watoto, vivyo hivyo mama+ yako atafiwa zaidi na watoto kati ya wanawake.”+ Kwa hiyo Samweli akamkata Agagi vipande-vipande mbele za Yehova katika Gilgali.+ Waroma 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+ Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+
19 Na ikiwa mtu atamtia mwenzake kasoro, basi kama vile tu ambavyo yeye amefanya, ndivyo atakavyofanywa.+
21 Na jicho lako lisisikitike:+ nafsi itakuwa kwa nafsi, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.+
33 Hata hivyo, Samweli akasema: “Kama vile upanga wako+ ulivyofanya wanawake kufiwa na watoto, vivyo hivyo mama+ yako atafiwa zaidi na watoto kati ya wanawake.”+ Kwa hiyo Samweli akamkata Agagi vipande-vipande mbele za Yehova katika Gilgali.+