Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 21:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini kifo kikitokea, basi utatoa nafsi kwa nafsi,+

  • Mambo ya Walawi 24:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na ikiwa mtu atamtia mwenzake kasoro, basi kama vile tu ambavyo yeye amefanya, ndivyo atakavyofanywa.+

  • Kumbukumbu la Torati 19:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na jicho lako lisisikitike:+ nafsi itakuwa kwa nafsi, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.+

  • 1 Samweli 15:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Hata hivyo, Samweli akasema: “Kama vile upanga wako+ ulivyofanya wanawake kufiwa na watoto, vivyo hivyo mama+ yako atafiwa zaidi na watoto kati ya wanawake.”+ Kwa hiyo Samweli akamkata Agagi vipande-vipande mbele za Yehova katika Gilgali.+

  • Waroma 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+

  • Wagalatia 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki