Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 33:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini akamwambia: “Bwana wangu anajua kwamba hawa watoto ni dhaifu na kondoo na ng’ombe wanaonyonyesha wako chini ya usimamizi wangu.+ Nao wakiwaendesha haraka mno kwa siku moja, basi kundi zima litakufa bila shaka.+

  • Kutoka 23:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Siku sita utafanya kazi yako;+ lakini siku ya saba utaacha, ili ng’ombe-dume wako na punda wako wapate kupumzika na mwana wa kijakazi wako na mkaaji mgeni wapate kujiburudisha.+

  • Kumbukumbu la Torati 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Usimwone punda wa ndugu yako au ng’ombe wake akianguka barabarani nawe uwaache kimakusudi. Kwa vyovyote unapaswa kuwasaidia na kuwainua.+

  • Kumbukumbu la Torati 22:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Usilime kwa ng’ombe-dume na punda pamoja.+

  • Kumbukumbu la Torati 25:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura.+

  • Yona 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na mimi, kwa upande wangu, je, sipaswi kusikitikia Ninawi lile jiji kubwa,+ ambalo lina wanadamu zaidi ya 120,000 wasiojua hata kidogo tofauti kati ya mkono wao wa kuume na wa kushoto, na tena wanyama wengi wa kufugwa?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki