Kutoka 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ukimwona punda wa mtu anayekuchukia akiwa amelala chini ya mzigo wake, basi lazima ujizuie usimwache. Lazima utamfungua pamoja naye.+ Mambo ya Walawi 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova. Luka 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Akajibu, akasema: “ ‘Lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa nguvu zako zote na kwa akili+ yako yote,’ na, ‘jirani yako kama wewe mwenyewe.’ ”+ Wagalatia 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa kweli, basi, tukiwa na wakati unaofaa kwa ajili ya hilo,+ tuwatendee wote mema, na hasa wale ambao katika imani ni jamaa zetu.+
5 Ukimwona punda wa mtu anayekuchukia akiwa amelala chini ya mzigo wake, basi lazima ujizuie usimwache. Lazima utamfungua pamoja naye.+
18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.
27 Akajibu, akasema: “ ‘Lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa nguvu zako zote na kwa akili+ yako yote,’ na, ‘jirani yako kama wewe mwenyewe.’ ”+
10 Kwa kweli, basi, tukiwa na wakati unaofaa kwa ajili ya hilo,+ tuwatendee wote mema, na hasa wale ambao katika imani ni jamaa zetu.+