Yohana 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lazima tufanye kazi zake aliyenituma kukiwa mchana bado;+ usiku+ unakuja wakati ambapo hakuna mtu anayeweza kufanya kazi. Wakolosai 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Endeleeni kutembea kwa hekima kuelekea wale walio nje,+ mkijinunulia wakati unaofaa.+
4 Lazima tufanye kazi zake aliyenituma kukiwa mchana bado;+ usiku+ unakuja wakati ambapo hakuna mtu anayeweza kufanya kazi.