Ayubu 38:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Ni nani anayemtayarishia kunguru chakula chake+Wakati watoto wake wanapomlilia Mungu wapate msaada,Wanapoendelea kutanga-tanga kwa sababu hakuna chakula chochote? Zaburi 147:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anawapa wanyama chakula chao,+Kunguru wachanga wanaoendelea kuita.+
41 Ni nani anayemtayarishia kunguru chakula chake+Wakati watoto wake wanapomlilia Mungu wapate msaada,Wanapoendelea kutanga-tanga kwa sababu hakuna chakula chochote?