Zaburi 136:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yule anayewapa chakula wote wenye mwili:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Zaburi 147:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anawapa wanyama chakula chao,+Kunguru wachanga wanaoendelea kuita.+ Mathayo 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Waangalieni kwa makini ndege+ wa mbinguni, kwa sababu hawapandi mbegu au kuvuna au kukusanya ghalani; na bado Baba yenu wa mbinguni huwalisha wao. Je, ninyi si bora kuliko wao?+
25 Yule anayewapa chakula wote wenye mwili:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
26 Waangalieni kwa makini ndege+ wa mbinguni, kwa sababu hawapandi mbegu au kuvuna au kukusanya ghalani; na bado Baba yenu wa mbinguni huwalisha wao. Je, ninyi si bora kuliko wao?+