Zaburi 31:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jinsi ulivyo mwingi wema wako,+ ambao umewawekea hazina wale wanaokuogopa!+Ambao umewapa wale wanaokukimbilia wewe,Mbele ya wana wa binadamu.+ Zekaria 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana lo! jinsi ulivyo mkuu wema wake,+ na jinsi ulivyo mkuu uzuri wake!+ Nafaka ndiyo itakayowasitawisha vijana, na divai mpya nayo itawasitawisha mabikira.”+
19 Jinsi ulivyo mwingi wema wako,+ ambao umewawekea hazina wale wanaokuogopa!+Ambao umewapa wale wanaokukimbilia wewe,Mbele ya wana wa binadamu.+
17 Kwa maana lo! jinsi ulivyo mkuu wema wake,+ na jinsi ulivyo mkuu uzuri wake!+ Nafaka ndiyo itakayowasitawisha vijana, na divai mpya nayo itawasitawisha mabikira.”+