8 Yehova ameapa kwa mkono wake wa kuume+ na kwa mkono wake wenye nguvu:+ “Sitawapa tena adui zako nafaka yako iwe chakula,+ wala wageni hawatakunywa divai yako mpya,+ ambayo umeifanyia kazi.
18 “Na itakuwa siku hiyo kwamba milima itatiririka divai tamu,+ na vilima vitatiririka maziwa, na sakafu za vijito vya Yuda zitatiririka maji. Na katika nyumba ya Yehova bubujiko litatoka,+ nalo litamwagilia maji bonde la mto la Mishita.+