5 Na hakika kupura kwenu kutafikia ukusanyaji wenu wa zabibu, nao ukusanyaji wa zabibu utafikia upandaji wa mbegu; na hakika mtakula mkate wenu na kushiba+ na kukaa kwa usalama katika nchi yenu.+
35 Na hakika watu watasema: “Ile nchi kule ambayo ilifanywa ukiwa imekuwa kama bustani ya Edeni,+ nayo majiji yaliyokuwa ukiwa na ambayo yalikuwa yamebomolewa yametiwa ngome; yamekaliwa.”+