Kumbukumbu la Torati 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami nitatokeza majani katika shamba lako kwa ajili ya wanyama wa kufugwa,+ nawe kwa kweli utakula na kushiba.+ Yoeli 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yehova atajibu na kuwaambia watu wake, ‘Tazama nawapelekea ninyi nafaka na divai mpya na mafuta, nanyi mtaishiba;+ nami sitawafanya tena kamwe kuwa shutuma kati ya mataifa.+
15 Nami nitatokeza majani katika shamba lako kwa ajili ya wanyama wa kufugwa,+ nawe kwa kweli utakula na kushiba.+
19 Yehova atajibu na kuwaambia watu wake, ‘Tazama nawapelekea ninyi nafaka na divai mpya na mafuta, nanyi mtaishiba;+ nami sitawafanya tena kamwe kuwa shutuma kati ya mataifa.+