11 na nyumba zilizojaa vitu vyote vizuri na ambazo hukuzijaza, na mashimo ya maji yaliyochimbwa ambayo hukuyachimba, mashamba ya mizabibu na mizeituni ambayo hukuipanda, nawe utakapokuwa umekula na kushiba,+
19 Yehova atajibu na kuwaambia watu wake, ‘Tazama nawapelekea ninyi nafaka na divai mpya na mafuta, nanyi mtaishiba;+ nami sitawafanya tena kamwe kuwa shutuma kati ya mataifa.+