Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 na nyumba zilizojaa vitu vyote vizuri na ambazo hukuzijaza, na mashimo ya maji yaliyochimbwa ambayo hukuyachimba, mashamba ya mizabibu na mizeituni ambayo hukuipanda, nawe utakapokuwa umekula na kushiba,+

  • Kumbukumbu la Torati 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Utakapokuwa umekula na kushiba,+ wewe pia unapaswa kumbariki+ Yehova Mungu wako kwa ajili ya mema ya nchi ambayo amekupa.+

  • Yoeli 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yehova atajibu na kuwaambia watu wake, ‘Tazama nawapelekea ninyi nafaka na divai mpya na mafuta, nanyi mtaishiba;+ nami sitawafanya tena kamwe kuwa shutuma kati ya mataifa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki