Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 62:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yehova ameapa kwa mkono wake wa kuume+ na kwa mkono wake wenye nguvu:+ “Sitawapa tena adui zako nafaka yako iwe chakula,+ wala wageni hawatakunywa divai yako mpya,+ ambayo umeifanyia kazi.

  • Amosi 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “ ‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘na anayelima atampita anayevuna,+ na anayekanyaga zabibu atampita anayechukua mbegu;+ na milima itatiririka divai tamu,+ na vilima vyote vitayeyuka.+

  • Malaki 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Leteni ghalani sehemu zote za kumi,+ ili kuwe na chakula nyumbani mwangu;+ nanyi, tafadhali, mnijaribu kwa njia hii,”+ Yehova wa majeshi amesema, “kama sitawafungulia ninyi malango ya mbinguni+ na kuwamwagia baraka hata kusiwe na uhitaji tena.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki