19 Lakini yule amiri msaidizi akamjibu mtu wa Mungu wa kweli na kusema: “Hata ikiwa Yehova angefanya madirisha mbinguni, je, ingeweza kutokea kulingana na neno hili?”+ Naye akasema: “Tazama, wewe unaliona hilo kwa macho yako, lakini wewe hutakula kutokana nalo.”+