19 Lakini yule kamanda msaidizi alikuwa amemwambia mtu wa Mungu wa kweli: “Hata Yehova akiyafungua malango ya mbinguni ya mafuriko, je, kweli jambo hilo linaweza kutokea?” Elisha akamjibu: “Utaona kwa macho yako mwenyewe, lakini hutakula vyakula hivyo.”