Hesabu 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baadaye Yehova akawaambia Musa na Haruni: “Kwa sababu hamkuonyesha imani kwangu ili kunitakasa+ mbele ya macho ya wana wa Israeli, kwa hiyo ninyi hamtaliingiza kutaniko hili katika nchi ambayo hakika nitawapa wao.”+ Zaburi 78:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi wakaanza kusema vibaya juu ya Mungu.+Walisema: “Je, Mungu anaweza kutayarisha meza nyikani?”+
12 Baadaye Yehova akawaambia Musa na Haruni: “Kwa sababu hamkuonyesha imani kwangu ili kunitakasa+ mbele ya macho ya wana wa Israeli, kwa hiyo ninyi hamtaliingiza kutaniko hili katika nchi ambayo hakika nitawapa wao.”+
19 Basi wakaanza kusema vibaya juu ya Mungu.+Walisema: “Je, Mungu anaweza kutayarisha meza nyikani?”+