Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 14:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Naye Mlawi,+ kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nawe, na mkaaji mgeni+ na mvulana asiye na baba na mjane,+ walio ndani ya malango yako, watakuja, nao watakula na kujishibisha; ili Yehova Mungu wako apate kukubariki+ katika kila tendo+ la mkono wako ambalo utafanya.

  • Kumbukumbu la Torati 15:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Unapaswa kumpa hata iweje,+ nao moyo wako usiwe mchoyo unapompa, maana kwa sababu hiyo Yehova Mungu wako atakubariki katika kila tendo lako na katika kila kazi unayofanya.+

  • Zaburi 67:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Mungu atatubariki,+

      Na miisho yote ya dunia itamwogopa yeye.+

  • Zaburi 115:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Atawabariki wale wanaomwogopa Yehova,+

      Wadogo kwa wakubwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki