12 “Unapomaliza kutoa zaka ya sehemu yote ya kumi+ ya mazao yako katika mwaka wa tatu,+ mwaka wa sehemu ya kumi, utampa Mlawi pia, mkaaji mgeni, mvulana asiye na baba na mjane, nao wataila ndani ya malango yako na kujishibisha.+
27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+