Ayubu 29:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Baraka+ ya mtu aliye karibu kuangamia—ilikuwa ikija juu yangu,Na moyo wa mjane nilikuwa nikiufurahisha.+ Isaya 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jifunzeni kutenda mema;+ tafuteni haki;+ mrekebisheni mkandamizaji;+ fanyeni hukumu kwa ajili ya mvulana asiye na baba;+ teteeni masilahi ya mjane.”+ 1 Timotheo 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Waheshimu wajane ambao ni wajane kwelikweli.+
13 Baraka+ ya mtu aliye karibu kuangamia—ilikuwa ikija juu yangu,Na moyo wa mjane nilikuwa nikiufurahisha.+
17 Jifunzeni kutenda mema;+ tafuteni haki;+ mrekebisheni mkandamizaji;+ fanyeni hukumu kwa ajili ya mvulana asiye na baba;+ teteeni masilahi ya mjane.”+