51 Nao hakika watakula uzao wa wanyama wako wa kufugwa na mazao ya udongo wako mpaka utakapokuwa umeangamizwa,+ nao hawatakuachia nafaka yoyote, divai mpya au mafuta, mtoto wa ng’ombe wako au uzao wa kundi lako, mpaka watakapokuwa wamekuangamiza.+
17 Hakika wao pia watakula mavuno yako na mkate wako.+ Watu hao watakula wana wako na binti zako. Watakula makundi yako na mifugo yako. Watakula mzabibu wako na mtini wako.+ Watavunja-vunja kwa upanga majiji yako yenye ngome unayoyategemea.”