Mambo ya Walawi 26:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nitakapokuwa nimevunja fimbo zenu ambazo huning’inizwa mikate ya mviringo,+ kwa kweli wanawake kumi wataoka mkate wenu katika jiko moja na kuwarudishia mkate wenu kulingana na uzito;+ nanyi mtakula bali hamtashiba.+ Yeremia 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mali yako na hazina zako nitazitoa ziporwe,+ si kwa sababu zimelipiwa bei yake, bali kwa sababu ya dhambi zako zote, katika maeneo yako yote.+
26 Nitakapokuwa nimevunja fimbo zenu ambazo huning’inizwa mikate ya mviringo,+ kwa kweli wanawake kumi wataoka mkate wenu katika jiko moja na kuwarudishia mkate wenu kulingana na uzito;+ nanyi mtakula bali hamtashiba.+
13 Mali yako na hazina zako nitazitoa ziporwe,+ si kwa sababu zimelipiwa bei yake, bali kwa sababu ya dhambi zako zote, katika maeneo yako yote.+