Zaburi 105:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye akaitisha njaa juu ya nchi;+Alivunja kila fimbo ambayo mikate ya mviringo ilining’inizwa juu yake.+ Ezekieli 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “ ‘Nitakapotuma ile mishale yenye madhara ya njaa juu yao,+ itakayokuwa ya uharibifu, mishale ambayo nitatuma ili kuwaharibu ninyi,+ hata njaa nitaiongeza juu yenu nami nitazivunja fimbo zenu ambazo mikate ya mviringo huning’inizwa kuzizunguka.+
16 Naye akaitisha njaa juu ya nchi;+Alivunja kila fimbo ambayo mikate ya mviringo ilining’inizwa juu yake.+
16 “ ‘Nitakapotuma ile mishale yenye madhara ya njaa juu yao,+ itakayokuwa ya uharibifu, mishale ambayo nitatuma ili kuwaharibu ninyi,+ hata njaa nitaiongeza juu yenu nami nitazivunja fimbo zenu ambazo mikate ya mviringo huning’inizwa kuzizunguka.+