29 “ ‘ “Nami nitawainulia mmea ili kujifanyia jina,+ nao hawatakuwa tena wale walioondolewa na njaa katika nchi,+ nao hawatachukua fedheha tena kamwe kutoka kwa mataifa.+
15 ‘Nami sitasababisha tena mazungumzo zaidi yenye kufedhehesha ya mataifa yasikiwe juu yako,+ nawe hutachukua tena shutuma ya watu,+ nayo mataifa yako hutayafanya yajikwae tena,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”