Ezekieli 36:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 ‘Nami sitasababisha tena mazungumzo zaidi yenye kufedhehesha ya mataifa yasikiwe juu yako,+ nawe hutachukua tena shutuma ya watu,+ nayo mataifa yako hutayafanya yajikwae tena,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
15 ‘Nami sitasababisha tena mazungumzo zaidi yenye kufedhehesha ya mataifa yasikiwe juu yako,+ nawe hutachukua tena shutuma ya watu,+ nayo mataifa yako hutayafanya yajikwae tena,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”