Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 54:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Usiogope,+ kwa maana hutaaibishwa; wala usifedheheke,+ kwa maana hutakatishwa tamaa.+ Kwa maana utaisahau hata aibu ya wakati wa ujana wako,+ nawe hutaikumbuka tena shutuma ya ujane wako wenye kuendelea.”

  • Isaya 60:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Na wana wa wale wanaokutesa watakuja kwako, wakiwa wanainama;+ na wale wote wanaokuvunjia heshima watainama penye nyayo za miguu yako,+ nao watakuita wewe jiji la Yehova, Sayuni+ wa Mtakatifu wa Israeli.

  • Ezekieli 34:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “ ‘ “Nami nitawainulia mmea ili kujifanyia jina,+ nao hawatakuwa tena wale walioondolewa na njaa katika nchi,+ nao hawatachukua fedheha tena kamwe kutoka kwa mataifa.+

  • Mika 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Usishangilie juu yangu, Ee mwanamke adui yangu.+ Ijapokuwa nimeanguka, nitasimama;+ ijapokuwa ninakaa gizani,+ Yehova atakuwa nuru kwangu.+

  • Sefania 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tazama, ninachukua hatua juu ya wote wanaokutesa, wakati huo;+ nami nitamwokoa yeye anayechechemea,+ na yeye ambaye ametawanywa nitamkusanya pamoja.+ Nami nitawaweka kuwa sifa na kuwa jina katika nchi yote ya aibu yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki